TEHRAN (IQNA) - Warsha ilifanyika hivi karibuni huko Jeddah, Saudia kuhusu uwekaji wa huduma za kidigitali katika mashirika ya ustawishaji uwekezaji katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC).
Habari ID: 3476321 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/28
Utalii wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mawaziri wa Utalii wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) wanatarajiwa kushiriki katika mkutano katika mji mkuu wa Jamhuri ya Azerbaijan, Baku kujadili maendeleo ya utalii katika nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3475430 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/26